k-star - We Belong Together lyrics

Published

0 200 0

k-star - We Belong Together lyrics

ee ye eee, k-star..{ke4} ahh, ahh, ahhh yea yea..ye yeh ye ahh we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never, i say we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never mama My angel of mine, my sweet of mine, kila siku ninawaza, juu yako, i swear juu yako, lini wewe utaona, nakupenda sana kwa hii dunia hakuna kama wewe, kwangu we malaika, figure nayo sura ukweli ziko mbele, napo kutazama, mimi nina thama ya kuwa nawe baby, mimi naamini si twapendana, we belong together o baby.... we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never, i say we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never mama my angel of mine, my sweet of mine, u knoe u da apple of my eye, i wanna be your radio unisikize kila siku (everyday) uwe wangu video nikwangalie kila siku (everyday) mimi naamini utapata kila kitu (nataka) mikono tushikane popote twatembea mchana na usiku,siwezi kukuacha nawe siniache nakuomba we mwenzangu kwa hivyo we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never, i say we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never mama KE4 hello mrembo nadai tu sekunde nikweleze ili jambo unisumbua moyoni, we belong together lakini we uoni, unafanya roho yangu ichome kaa niko jikoni, nakweleza lakini au niamini najionyesha lakini unitambue, unabaki ukisaka chenye kiko mbele yako lakini ukicholewa ukweli unathani ni vako, ukweli dalili za mvua ni mawingo, jaradha wa kichora pamoja washika wivu, mrembo we belong together, mi na wewe upendo utakua better. we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never, i say we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never mama we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never, i say we belong together wacha kukataa tunapendana, baby baby, we belong together, hey never say never mama