yeaaa! ze bato.. p record VERS awakujua ila walijua ndomaana kisa ali test kwa level ya swax crunk ndo maana god alibless ze machine ka simple hii complex siwezi kuogopa sababu so mader kesi yes kini dis basi test kama football napiga chenga za mess am dj so khalid with the best nawakopi kitaa this time nawapaste wanashangaa kuona level zangu next come in come in usinizingue best me ni mkali men usi ni disi men nafanya this again i wana pull the triger let me do this men i love all my n***ar oh! my god amen let us ........our mind yes we tired maisha ni kama kamali without bodyguard i get my bullet like quick na speed ka drug dller ni mzalendo kama kocha uwanja panapo mpila no mtter ths why ushanisoma ze bee CHORUS. achaniseme so mtu mzima sana majukumu daima lazima kukimbia ujana tupeane h.i atakama tukikosana ukikosea sikufichi wee! lazima takuchana(2 time) VERS. me so abas ila na like chapaa me na focus am gona be star
am gona be like astalvista ikizingua waga na drop na freestyle ni kama gift toka kwa sir god usipime kama mechi nyingi za old trafford b wa mathew na telesia you get me men nafanya kazi napumzika baada ya hapo then najiachia na machizi wa mtaa wanao fanya this sound na sound ika paa kama kazi acha kipindi uwone kazi na mavazi kesho utajikuta jambazi nilianza next sijui lini low level utabaki desh my best uwezi battal karibu tena kwenye show za bee ka joh wa saimon utajua why ze b hooi! ka saigon me namkumbuka gs panch na santa piano kama teacher me ni cla** yanini malumbano muanza vizuri kesho uwisha vibaya kama nikk ze b nawapeleka higher nawapeleka peleka samsh (CHORUS..again) nadhani mmenisoma mashabiki.....rudiaaaa poa tarudia kama vp.......rudiaaa poa tarudia ila nataka mtulie msipo turia me siwezi kuwaambia(2 time) outro..its ya boy ze pdz samsh,kano q man wiki yea kibaoni this town kiba kiba kibaoni this time.