Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina! Baba yetu, yetu, uliye Jina lako litukuzwe. Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina! Baba yetu, yetu, uliye Jina lako litukuzwe. Utupe leo chakula chetu Tunachohitaji utusamehe Makosa yetu, hey! Kama nasi tunavyowasamehe Waliotukosea usitutie
Katika majaribu, lakini Utuokoe, na yule, milelea milele! Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina! Baba yetu, yetu, uliye Jina lako litukuzwe. Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu, amina! Baba yetu, yetu, uliye Jina lako litukuzwe. Ufalme wako ufike utakalo Lifanyike duniani kama mbinguni